Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:40 - Swahili Revised Union Version

40 akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Akaingia nyumbani mwa Zakaria na kumsalimu Elizabeti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Akaingia nyumbani kwa Zekaria na kumsalimu Elizabeti.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti.

Tazama sura Nakili




Luka 1:40
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.


Basi, Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda hadi katika nchi yenye milima kwa haraka mpaka mji mmoja wa Yudea,


Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;


Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo