Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 42:2 - Swahili Revised Union Version

Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hatalia wala hatapiga kelele, wala hatapaza sauti yake barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hatalia wala hatapiga kelele, wala hatapaza sauti yake barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hatalia wala hatapiga kelele, wala hatapaza sauti yake barabarani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hatapaza sauti wala kupiga kelele, wala hataipaza sauti yake barabarani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hatapaza sauti wala kupiga kelele, wala hataiinua sauti yake barabarani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 42:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.


Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi utokao moshi hatauzima; atatoa hukumu kwa uaminifu.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;


Tena haimpasi mtumwa wa Bwana kuwa mgomvi; bali kuwa mwanana kwa watu wote, awezaye kufundisha, mvumilivu;


Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.