Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 42:18 - Swahili Revised Union Version

Sikilizeni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sikilizeni enyi viziwi! Tazameni enyi vipofu, mpate kuona!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sikilizeni enyi viziwi! Tazameni enyi vipofu, mpate kuona!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sikilizeni enyi viziwi! Tazameni enyi vipofu, mpate kuona!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sikieni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sikieni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikilizeni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 42:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Ni nani aliyekifanya kinywa cha mwanadamu? Au ni nani afanyaye mtu kuwa bubu au kiziwi, au mwenye kuona, au kuwa kipofu? Si mimi, BWANA?


Sikio lisikialo, na jicho lionalo, BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili.


Na katika siku hiyo viziwi watasikia maneno ya hicho kitabu, na macho ya vipofu yataona katika upofu na katika giza.


Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


Walete watu wasioona, japo wana macho, wasiosikia japo wana masikio.


Ndipo alipojibu, akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana hayo mliyoyaona na kuyasikia; vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, maskini wanahubiriwa Habari Njema.