Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 41:3 - Swahili Revised Union Version

Awafuatia, apita salama hata kwa njia asiyoikanyaga kamwe kwa miguu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye huwafuatia na kupita salama; huenda kasi kana kwamba hagusi chini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye huwafuatia na kupita salama; huenda kasi kana kwamba hagusi chini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye huwafuatia na kupita salama; huenda kasi kana kwamba hagusi chini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huwafuatia na kuendelea salama, katika njia ambayo miguu yake haijawahi kupita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huwafuatia na kuendelea salama, katika njia ambayo miguu yake haijawahi kupita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Awafuatia, apita salama hata kwa njia asiyoikanyaga kamwe kwa miguu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 41:3
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utajua ya kwamba hema yako ni salama; Na zizi lako utalikagua, wala usikose kitu.


Ni nani aliyemwinua mmoja atokaye mashariki, ambaye katika haki amemwita mguuni pake? Ampa mataifa mbele yake, na kumtawaza juu ya wafalme; awatoa wawe kama mavumbi kwa upanga wake, kama makapi yaliyopeperushwa kwa upinde wake.


Ni nani aliyetenda na kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu mwanzo? Mimi, BWANA, wa kwanza na wa mwisho, mimi ndiye.


Yeye huingia katika amani; wao hustarehe katika vitanda vyao, kila mtu aendaye katika unyofu wake.