Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 34:12 - Swahili Revised Union Version

Watawaitia wakuu wake ufalme, lakini hawatakuwapo; wakuu wake wote wamekuwa si kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nchi itaitwa “Nchi bila Mfalme;” wakuu wake wote wametoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nchi itaitwa “Nchi bila Mfalme;” wakuu wake wote wametoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nchi itaitwa “Nchi bila Mfalme”; wakuu wake wote wametoweka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote kitakachoitwa ufalme huko, nao wakuu wao wote watatoweka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote kitakachoitwa ufalme huko, nao wakuu wao wote watatoweka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watawaitia wakuu wake ufalme, lakini hawatakuwapo; wakuu wake wote wamekuwa si kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 34:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.


Tazameni, ninyi si kitu, tena kazi yenu si kitu; awachaguaye ninyi ni chukizo.


ambavyo Nebukadneza, mfalme wa Babeli, hakuvichukua, hapo alipomchukua Yekonia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, toka Yerusalemu mpaka Babeli, pamoja na wakuu wote wa Yuda, na Yerusalemu;


Ndipo mfalme wa Babeli akawaua wana wa Sedekia huko Ribla mbele ya macho yake; pia mfalme wa Babeli akawaua wakuu wote wa Yuda.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.


Basi kuhusu kuvila vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lolote, nijapokuwa si kitu.