Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 32:8 - Swahili Revised Union Version

Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini waungwana hutenda kiungwana, nao hutetea mambo ya kiungwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini waungwana hutenda kiungwana, nao hutetea mambo ya kiungwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini waungwana hutenda kiungwana, nao hutetea mambo ya kiungwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana, na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana, na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 32:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa hatuna budi kufa, nasi tu kama maji yaliyomwagika chini, yasiyoweza kuzoleka tena; wala Mungu haondoi maisha ila hufikiri shauri, kwamba yeye aliyefukuzwa asiwe mkimbizi kwake.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika, wakampeleka juu ghorofani wajane wote wakasimama karibu naye, wakilia na kumwonesha zile kanzu na nguo alizozishona Dorkasi wakati ule alipokuwa pamoja nao.


maana walipokuwa wakijaribiwa kwa dhiki nyingi, wingi wa furaha yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongezea utajiri wa ukarimu wao.