Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka hamsini na mitano.
Isaya 3:4 - Swahili Revised Union Version Nami nitawapa watoto kuwamiliki, na watoto wachanga kuwatawala. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mungu ataweka watoto wawatawale; naam, watoto wachanga watawatawala. Biblia Habari Njema - BHND Mungu ataweka watoto wawatawale; naam, watoto wachanga watawatawala. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mungu ataweka watoto wawatawale; naam, watoto wachanga watawatawala. Neno: Bibilia Takatifu Nitawafanya wavulana wawe viongozi wao; watoto ndio watakaowatawala. Neno: Maandiko Matakatifu Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao, watoto ndio watakaowatawala. BIBLIA KISWAHILI Nami nitawapa watoto kuwamiliki, na watoto wachanga kuwatawala. |
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka hamsini na mitano.
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja huko Yerusalemu.
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja, alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na mmoja;
Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala; akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu.
Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na mmoja; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, Mungu wake.
Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA.
Kuhusu watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
BWANA akasema tena, Kwa sababu binti za Sayuni wana kiburi, na kuenda na shingo zilizonyoshwa, na macho ya kutamani, wakienda kwa hatua za madaha, na kuliza njuga kwa miguu yao;
jemadari aliye juu ya watu hamsini, na mtu mstahifu, na mshauri, na fundi aliye stadi, na mganga ajuaye uganga sana.
Maana, kwa sababu ya hasira ya BWANA, mambo haya yalitokea katika Yerusalemu na katika Yuda, hata akawaondosha wasiwe mbele za uso wake, naye Sedekia akamwasi mfalme wa Babeli.