Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 28:11 - Swahili Revised Union Version

La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwa lugha nyingine atasema na watu hawa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haya basi! Mwenyezi-Mungu ataongea na watu hawa kwa njia ya watu wa lugha tofauti wanaoongea lugha ngeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haya basi! Mwenyezi-Mungu ataongea na watu hawa kwa njia ya watu wa lugha tofauti wanaoongea lugha ngeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haya basi! Mwenyezi-Mungu ataongea na watu hawa kwa njia ya watu wa lugha tofauti wanaoongea lugha ngeni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sawa kabisa, kwa midomo migeni na kwa lugha ngeni, Mungu atasema na watu hawa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sawa kabisa, kwa midomo migeni na kwa lugha ngeni, Mungu atasema na watu hawa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwa lugha nyingine atasema na watu hawa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 28:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuielewa.


Angalia, nitaleta taifa juu yenu litokalo mbali sana, Ee nyumba ya Israeli, asema BWANA; ni taifa hodari, ni taifa la zamani sana, taifa ambalo hujui lugha yake, wala huyafahamu wasemayo.


Maana wewe hukutumwa kwa watu wa lugha isiyoeleweka, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;


Imeandikwa katika torati, Nitasema na watu hawa kwa watu wa lugha nyingine, na kwa midomo ya wageni, wala hata hivyo hawatanisikia, asema Bwana.


BWANA atakuletea taifa juu yako kutoka mbali, kutoka ncha ya dunia, kama arukavyo tai; taifa usiloufahamu ulimi wake;