Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 33:19 - Swahili Revised Union Version

19 Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuielewa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hamtawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumza lugha isiyoeleweka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hamtawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumza lugha isiyoeleweka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hamtawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumza lugha isiyoeleweka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hutawaona tena wale watu wenye kiburi, wale watu wenye usemi wa mafumbo, wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hutawaona tena wale watu wenye kiburi, wale watu wenye usemi wa mafumbo, wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.

Tazama sura Nakili




Isaya 33:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.


Basi BWANA asema hivi katika habari za mfalme wa Ashuru, Yeye hatauingia mji huu, wala hatapiga mshale hapa, wala hatakuja mbele yake kwa ngao, wala hatajenga boma juu yake.


Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.


La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwa lugha nyingine atasema na watu hawa;


Njia ile ile aliyoijia, kwa njia hiyo atarudi zake, wala hataingia ndani ya mji huu; asema BWANA.


Basi Senakeribu, mfalme wa Ashuru akaenda zake, akarudi Ninawi, akakaa huko.


Angalia, nitaleta taifa juu yenu litokalo mbali sana, Ee nyumba ya Israeli, asema BWANA; ni taifa hodari, ni taifa la zamani sana, taifa ambalo hujui lugha yake, wala huyafahamu wasemayo.


Imeandikwa katika torati, Nitasema na watu hawa kwa watu wa lugha nyingine, na kwa midomo ya wageni, wala hata hivyo hawatanisikia, asema Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo