Nami nilikuwa nimekupanda, mzabibu mwema sana, mbegu nzuri kabisa; umegeukaje, basi, kuwa mche usiofaa wa mzabibumwitu machoni pangu?
Isaya 27:2 - Swahili Revised Union Version Katika siku hiyo; Shamba la mizabibu la mvinyo, liimbieni. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu atasema hivi: “Imbeni utenzi wa shamba langu zuri la mizabibu! Biblia Habari Njema - BHND Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu atasema hivi: “Imbeni utenzi wa shamba langu zuri la mizabibu! Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu atasema hivi: “Imbeni utenzi wa shamba langu zuri la mizabibu! Neno: Bibilia Takatifu Katika siku ile: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa: Neno: Maandiko Matakatifu Katika siku ile: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa: BIBLIA KISWAHILI Katika siku hiyo; Shamba la mizabibu la mvinyo, liimbieni. |
Nami nilikuwa nimekupanda, mzabibu mwema sana, mbegu nzuri kabisa; umegeukaje, basi, kuwa mche usiofaa wa mzabibumwitu machoni pangu?