Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 21:6 - Swahili Revised Union Version

Maana Bwana ameniambia hivi, Nenda, weka mlinzi; aonayo na ayatangaze.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana Bwana aliniambia, “Nenda ukaweke mlinzi; mwambie atangaze atakachoona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana Bwana aliniambia, “Nenda ukaweke mlinzi; mwambie atangaze atakachoona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana Bwana aliniambia, “Nenda ukaweke mlinzi; mwambie atangaze atakachoona.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo Bwana analoniambia: “Nenda, weka mlinzi, na atoe taarifa ya kile anachokiona.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo Bwana analoniambia: “Nenda, weka mlinzi, na atoe taarifa ya kile anachokiona.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana Bwana ameniambia hivi, Nenda, weka mlinzi; aonayo na ayatangaze.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 21:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mlinzi akapaaza sauti, akamwambia mfalme. Naye mfalme akasema, Kama yuko peke yake, ana habari kinywani mwake. Akaja mbio, akakaribia.


Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?


Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha BWANA, msiwe na kimya;


Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu.