Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 19:9 - Swahili Revised Union Version

Tena wao wafanyao kazi ya kuchana kitani watafadhaika, na hao pia wafumao bafta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wafuma nguo za kitani watakata tamaa, wote kwa pamoja watakufa moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wafuma nguo za kitani watakata tamaa, wote kwa pamoja watakufa moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wafuma nguo za kitani watakata tamaa, wote kwa pamoja watakufa moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa, wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa, wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena wao wafanyao kazi ya kuchana kitani watafadhaika, na hao pia wafumao bafta.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 19:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao farasi aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi, kila kundi na thamani yake.


zile nguzo mbili, na mabakuli mawili ya mataji yalikuwa juu ya nguzo; na nyavu mbili za kuvifunika hivyo viumbe viwili vya mataji yaliyokuwa juu ya nguzo;


Wana wa Shela, mwana wa Yuda; Eri, babaye Leka, na Laada, babaye Maresha, na jamaa zao wa ukoo wa wafuma nguo za kitani safi, wa ukoo wa Ashbea;


Nimetandika kitanda changu, magodoro mazuri, Kwa matandiko ya Kimisri yenye mistari.


Tanga lako lilikuwa la kitani safi itokayo Misri, iliyotiwa taraza, ili iwe bendera kwako; na chandarua chako kilikuwa cha rangi ya samawati na urujuani toka visiwa vya Elisha.