Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 10:8 - Swahili Revised Union Version

Maana asema, Je! Wakuu wangu si wote wafalme?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana alisema: “Je, si kweli majemadari wangu ni wafalme?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana alisema: “Je, si kweli majemadari wangu ni wafalme?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana alisema: “Je, si kweli majemadari wangu ni wafalme?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maana asema, ‘Je, wafalme wote si majemadari wangu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maana asema, ‘Je, wafalme wote si majemadari wangu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana asema, Je! Wakuu wangu si wote wafalme?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 10:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wawezaje, basi, kurudisha nyuma uso wa ofisa mmoja wa watumishi walio wadogo wa bwana wangu, na kuitumainia Misri upewe magari na farasi?


Mwambieni Hezekia, mfalme wa Yuda, maneno haya, mkisema, Asikudanganye Mungu wako unayemtumaini, akisema, Yerusalemu hautatiwa katika mikono ya mfalme wa Ashuru.


Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Lakini hivyo sivyo akusudiavyo mwenyewe, wala sivyo moyo wake uwazavyo; maana katika moyo wake akusudia kuharibu, na kukatilia mbali mataifa, wala si mataifa machache.


Je! Kalno si kama Karkemishi? Hamathi si kama Arpadi? Samaria si kama Dameski?


Basi sasa, tafadhali mpe bwana wangu, mfalme wa Ashuru, dhamana, nami nitakupa farasi elfu mbili, ikiwa wewe kwa upande wako waweza kupandisha watu juu yao.


BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake;


Maana Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitamleta Nebukadneza, mfalme wa Babeli, mfalme wa wafalme, juu ya Tiro toka kaskazini, pamoja na farasi, na magari ya vita, na wapanda farasi, na jeshi, na watu wengi.


Basi kimo chake kilitukuzwa kuliko miti yote ya shambani, na vitanzu vyake viliongezeka; matawi yake yakawa marefu, kwa sababu ya maji mengi, alipoyachipuza.


Wewe, Ee mfalme, u mfalme wa wafalme, na Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, na uwezo, na nguvu, na utukufu;


Naam, ijapokuwa waajiri kati ya mataifa, sasa nitawakusanya; nao wanaanza kupunguka kwa sababu ya mzigo wa mfalme wa wakuu.