Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 5:11 - Swahili Revised Union Version

Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Efraimu amedhulumiwa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Efraimu ameonewa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 5:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku za Peka mfalme wa Israeli akaja Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru, akatwaa Iyoni, na Abel-beth-maaka, na Yanoa, na Kedeshi, na Hazori, na Gileadi, na Galilaya, nchi yote ya Naftali; akawahamisha hao watu mpaka Ashuru.


Efraimu amepigwa; mzizi wao umekauka; hawatazaa matunda; naam, wajapozaa, nitaliua tunda la tumbo lipendwalo sana.


Kwa maana amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.


Matunda ya nchi yako, na taabu yako yote, vitaliwa na taifa usilolijua; utaonewa tu, na kupondwa chini daima;