Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 7:60 - Swahili Revised Union Version

Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, mkuu wa wana wa Benyamini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku ya tisa ikawa zamu ya Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa kabila la Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku ya tisa ikawa zamu ya Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa kabila la Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku ya tisa ikawa zamu ya Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa kabila la Benyamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, mkuu wa wana wa Benyamini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 7:60
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.


tena kabila la Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;