Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 7:24 - Swahili Revised Union Version

Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku ya tatu ikawa zamu ya Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zebuluni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku ya tatu ikawa zamu ya Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zebuluni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku ya tatu ikawa zamu ya Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zebuluni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa watu wa Zabuloni, alileta sadaka yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 7:24
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


na kabila la Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;


na kwa dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Nethaneli mwana wa Suari.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;