Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 7:20 - Swahili Revised Union Version

na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilikuwa kimejaa uvumba;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kisahani kimoja cha dhahabu cha gramu 110 kikiwa kimejazwa ubani;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kisahani kimoja cha dhahabu cha gramu 110 kikiwa kimejazwa ubani;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kisahani kimoja cha dhahabu cha gramu 110 kikiwa kimejazwa ubani;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilikuwa kimejaa uvumba;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 7:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;


yeye akasongeza matoleo yake, sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa ni sadaka ya unga;


na ng'ombe dume mchanga mmoja, na kondoo dume mmoja, na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kuwa sadaka ya kuteketezwa;