Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:14 - Swahili Revised Union Version

14 na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 kisahani kimoja cha dhahabu chenye uzito wa gramu 110 kikiwa kimejazwa ubani;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 kisahani kimoja cha dhahabu chenye uzito wa gramu 110 kikiwa kimejazwa ubani;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 kisahani kimoja cha dhahabu chenye uzito wa gramu 110 kikiwa kimejazwa ubani;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

na vikombe, na makasi, na mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu safi; na bawaba za dhahabu, za milango ya nyumba ya ndani, yaani, patakatifu pa patakatifu, na za milango ya nyumba, ndiyo hekalu.


Nao walipomaliza, wakaleta mbele ya mfalme na Yehoyada fedha iliyobaki, na kwavyo vikafanywa vyombo vya nyumba ya BWANA, vyombo vya utumishi, navyo vya kutolea, na miiko, na vyombo vya dhahabu na fedha. Wakatoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya BWANA, mara kwa mara, siku zote za Yehoyada.


na mikasi, na mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu iliyosafika; na kwa habari za mahali pa kuingia nyumbani, milango yake ya ndani ya patakatifu pa patakatifu, na milango ya nyumba, yaani ya hekalu, ilikuwa ya dhahabu.


na mafuta kwa hiyo taa, na viungo vya manukato kwa hayo mafuta ya kutiwa, na kwa huo uvumba mzuri;


Kisha, vile vyombo vilivyokuwa juu ya meza, sahani zake, na miiko yake, na bakuli zake, na makopo yake ya kumiminia, akavifanya vya dhahabu safi.


Tena juu ya meza ya mikate ya madhabahuni watatandika nguo ya rangi ya samawati, na kuweka juu yake sahani, na miiko, na mabakuli, na vikombe vya kumiminia; na hiyo mikate ya daima itakuwa juu yake;


na matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha uzani wake ni shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga;


ng'ombe dume mchanga, mmoja na kondoo dume mmoja, na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kuwa sadaka ya kuteketezwa;


na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilikuwa kimejaa uvumba;


na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo