Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 5:16 - Swahili Revised Union Version

Basi kuhani atamleta mwanamke akaribie, na kumweka mbele za BWANA;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kuhani atampeleka huyo mwanamke karibu, na kumsimamisha mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kuhani atampeleka huyo mwanamke karibu, na kumsimamisha mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kuhani atampeleka huyo mwanamke karibu, na kumsimamisha mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kuhani atamleta mwanamke akaribie, na kumweka mbele za BWANA;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 5:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi, BWANA, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.


Ikawa matoleo yake ni sadaka ya kuteketezwa ya ng'ombe, atatoa ng'ombe dume mkamilifu; ataleta mlangoni pa hema ya kukutania, ili akubaliwe mbele ya BWANA.


ndipo huyo mume atamchukua mkewe, aende naye kwa kuhani, naye ataleta sadaka yake kwa ajili yake, yaani, sehemu ya kumi ya efa; asitie mafuta juu yake, wala asitie ubani juu yake; maana, ni sadaka ya unga ya wivu, ni sadaka ya unga ya ukumbusho ya kukumbukia uovu.


kisha kuhani atatwaa maji matakatifu katika chombo cha udongo; kisha kuhani atatwaa katika vumbi lililo pale chini ya maskani, na kulitia katika hayo maji;


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.