Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:42 - Swahili Revised Union Version

Na hao waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Idadi ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na familia zao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Idadi ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na familia zao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Idadi ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na familia zao,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hao waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:42
4 Marejeleo ya Msalaba  

mwana wa Mali, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.


na wale waliohesabiwa kwa nasaba ya makuhani kufuata nyumba za baba zao, na Walawi, wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, katika sehemu yao, kwa kadiri ya zamu zao;


Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Gershoni, wote waliotumika katika hema ya kukutania, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA.


kuanzia wenye umri wa miaka thelathini na zaidi, hadi umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi kwa kazi katika hema ya kukutania,