Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:21 - Swahili Revised Union Version

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele.


lakini wasiingie wao kupaona mahali pale patakatifu, hata kwa dakika moja, ili wasife.


Fanya hesabu za wana wa Gershoni nao, kwa nyumba za baba zao, na jamaa zao;


Kwa amri ya BWANA, walihesabiwa kwa mkono wa Musa, kila mtu kwa utumishi wake, na kama mzigo wake ulivyokuwa; ndivyo walivyohesabiwa na yeye, kama BWANA alivyomwagiza Musa.