Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 33:16 - Swahili Revised Union Version

Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapiga kambi Kibroth-hataava.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutoka Sinai walipiga kambi yao huko Kibroth-hataava.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutoka Sinai walipiga kambi yao huko Kibroth-hataava.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutoka Sinai walipiga kambi yao huko Kibroth-hataava.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapiga kambi Kibroth-hataava.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 33:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakasafiri kutoka penye mlima wa BWANA safari ya siku tatu; na sanduku la Agano la BWANA likatangulia mbele yao mwendo wa siku tatu, ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.


Jina la mahali pale likaitwa Kibroth-hataava; maana, ni hapo walipowazika hao watu waliotamani.


Kisha mkutano wa wafuasi waliokuwa kati yao, wakashikwa na tamaa; wana wa Israeli nao wakalia tena, wakasema, Ni nani atakayetupa nyama tule?


Wakasafiri kutoka Kibroth-hataava, wakapiga kambi Haserothi.


BWANA, Mungu wetu, alituambia huko Horebu, akasema, Mmekaa katika mlima huu vya kutosha;