Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 11:34 - Swahili Revised Union Version

34 Jina la mahali pale likaitwa Kibroth-hataava; maana, ni hapo walipowazika hao watu waliotamani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Kwa hiyo mahali hapo palipewa jina Kibroth-hataava; kwa sababu huko ndiko walikowazika watu waliokuwa walafi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Kwa hiyo mahali hapo palipewa jina Kibroth-hataava; kwa sababu huko ndiko walikowazika watu waliokuwa walafi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Kwa hiyo mahali hapo palipewa jina Kibroth-hataava; kwa sababu huko ndiko walikowazika watu waliokuwa walafi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava, kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava, kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Jina la mahali pale likaitwa Kibroth-hataava; maana, ni hapo walipowazika hao watu waliotamani.

Tazama sura Nakili




Hesabu 11:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hasira ya Mungu ikapanda juu yao, Akawaua waliokuwa wanono; Akawaangusha chini vijana wa Israeli.


Kutoka hapo Kibroth-hataava watu wakasafiri kwenda Haserothi; wakakaa huko Haserothi.


Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapiga kambi Kibroth-hataava.


Wakasafiri kutoka Kibroth-hataava, wakapiga kambi Haserothi.


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Tena huko Tabera, na Masa, na Kibroth-hataava mlimtia BWANA hasira.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo