Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:21 - Swahili Revised Union Version

tena kama kila mume wa kwenu mwenye kuchukua silaha atavuka Yordani mbele ya BWANA, hata atakapokuwa amekwisha watoa adui zake mbele yake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mpiganaji wenu atavuka mto Yordani na mkiwa chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu, mtawashambulia adui zetu mpaka Mwenyezi-Mungu awashinde,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mpiganaji wenu atavuka mto Yordani na mkiwa chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu, mtawashambulia adui zetu mpaka Mwenyezi-Mungu awashinde,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mpiganaji wenu atavuka mto Yordani na mkiwa chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu, mtawashambulia adui zetu mpaka Mwenyezi-Mungu awashinde,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na kama ninyi nyote mtaenda mmejivika silaha ng’ambo ya Yordani mbele za Mwenyezi Mungu hadi awe amewafukuza adui zake mbele zake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ng’ambo ya Yordani mbele za bwana mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tena kama kila mwanamume wa kwenu mwenye kuchukua silaha atavuka Yordani mbele za BWANA, hata atakapokuwa amekwisha watoa adui zake mbele yake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Musa akawaambia, Kama mtafanya jambo hili; kama mtajivika silaha, ili kutangulia mbele ya BWANA mwende vitani,


na hiyo nchi kushindwa mbele za BWANA; ndipo baadaye mtarudi, nanyi mtakuwa hamna hatia mbele za BWANA, wala kwa Israeli; na nchi hii itakuwa milki yenu mbele za BWANA.


Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa BWANA, akisema, BWANA, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii.