Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:18 - Swahili Revised Union Version

Sisi hatutarudia nyumba zetu, hata wana wa Israeli watakapokuwa wamekwisha kurithi kila mtu urithi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hatutarudi nyumbani hadi hapo Waisraeli wengine wote watakapomiliki maeneo yao waliyogawiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hatutarudi nyumbani hadi hapo Waisraeli wengine wote watakapomiliki maeneo yao waliyogawiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hatutarudi nyumbani hadi hapo Waisraeli wengine wote watakapomiliki maeneo yao waliyogawiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hatutarudi nyumbani mwetu hadi kila Mwisraeli apokee urithi wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sisi hatutarudia nyumba zetu, hata wana wa Israeli watakapokuwa wamekwisha kurithi kila mtu urithi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

hata BWANA awapumzishe ndugu zenu kama ninyi, nao pia waimiliki nchi wapewayo na BWANA, Mungu wenu, ng'ambo ya Yordani; ndipo mtakaporudi kila mmoja aende katika milki yake niliyowapa.