Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:32 - Swahili Revised Union Version

na wa Shemida, jamaa ya Washemida; na wa Heferi, jamaa ya Waheferi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shemida na Heferi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shemida na Heferi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shemida na Heferi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na wa Shemida, jamaa ya Washemida; na wa Heferi, jamaa ya Waheferi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

na wa Asrieli, jamaa ya Waasrieli; na wa Shekemu, jamaa ya Washekemu;


Na Selofehadi mwana wa Heferi hakuwa na watoto wa kiume, isipokuwa wa kike; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya, Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.


Na kura ilikuwa ni ya hao wana wa Manase waliosalia kwa kufuata jamaa zao; kwa wana wa Abiezeri, kwa wana wa Heleki, kwa wana wa Asrieli, kwa wana wa Shekemu, kwa wana wa Heferi na kwa wana wa Shemida; hao ndio wana wa kiume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kufuata jamaa zao.