Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:8 - Swahili Revised Union Version

na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na saba na mia nne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kikosi chake kulingana na hesabu ni wanaume 57,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kikosi chake kulingana na hesabu ni wanaume 57,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kikosi chake kulingana na hesabu ni wanaume 57,400.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kundi lake lina watu elfu hamsini na saba na mia nne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kundi lake lina watu 57,400.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na saba na mia nne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

wale waliohesabiwa katika kabila la Zabuloni, walikuwa watu elfu hamsini na saba na mia nne (57,400).


na kabila la Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;


Hao wote waliohesabiwa katika kambi ya Yuda walikuwa elfu mia moja themanini na sita na mia nne, kwa makundi yao. Hao ndio watakaotangulia mbele.