Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:1 - Swahili Revised Union Version

BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu aliwapa Mose na Aroni, maagizo yafuatayo:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu aliwapa Mose na Aroni, maagizo yafuatayo:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu aliwapa Mose na Aroni, maagizo yafuatayo:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu aliwaambia Musa na Haruni:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana aliwaambia Musa na Haruni:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo walivyofanya wana wa Israeli; kama yote BWANA aliyomwagiza Musa, ndivyo walivyofanya.


Ndipo hema ya kukutania itasafiri, pamoja na kambi za Walawi katikati ya kambi zote; kama wapangavyo kambi, watasafiri vivyo hivyo, kila mtu mahali pake, penye bendera zao.


Wana wa Israeli watapanga kila mtu penye bendera yake mwenyewe, na alama za nyumba za baba zao; kuikabili hema ya kukutania ndiko watakakopanga kwa kuizunguka pande zote.


ndipo wakuu wa Israeli, vichwa vya nyumba za baba zao, wakatoa matoleo; hao ndio wakuu wa makabila, hao ndio waliokuwa juu yao waliohesabiwa;