Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:25 - Swahili Revised Union Version

Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akashuka ndani ya wingu, akanena naye, akatwaa sehemu ya roho iliyokuwa juu ya Musa, akaitia juu ya wale wazee sabini; ikawa, roho hiyo ilipowashukia, wakatabiri, lakini hawakufanya hivyo tena.


Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.


Basi Kora, mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, akatwaa watu, pamoja na Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni, mwana wa Pelethi, waliokuwa wana wa Reubeni;


Nena na mkutano, na kuwaambia, Ondokeni ninyi hapo karibu na maskani ya Kora, na Dathani, na Abiramu.


Akasema na mkutano, na kuwaambia, Nawasihi, ondokeni penye hema za hawa watu waovu, wala msiguse kitu chao chochote, msiangamizwe katika dhambi zao zote.