Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 16:25 - Swahili Revised Union Version

25 Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.

Tazama sura Nakili




Hesabu 16:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akashuka ndani ya wingu, akanena naye, akatwaa sehemu ya roho iliyokuwa juu ya Musa, akaitia juu ya wale wazee sabini; ikawa, roho hiyo ilipowashukia, wakatabiri, lakini hawakufanya hivyo tena.


Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.


Basi Kora, mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, akatwaa watu, pamoja na Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni, mwana wa Pelethi, waliokuwa wana wa Reubeni;


Nena na mkutano, na kuwaambia, Ondokeni ninyi hapo karibu na maskani ya Kora, na Dathani, na Abiramu.


Akasema na mkutano, na kuwaambia, Nawasihi, ondokeni penye hema za hawa watu waovu, wala msiguse kitu chao chochote, msiangamizwe katika dhambi zao zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo