Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 11:30 - Swahili Revised Union Version

30 Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Kisha Mose alirudi kambini pamoja na wale wazee sabini wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Kisha Mose alirudi kambini pamoja na wale wazee sabini wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Kisha Mose alirudi kambini pamoja na wale wazee sabini wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Ndipo Musa na wale wazee wa Israeli wakarudi kambini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Ndipo Musa na wale wazee wa Israeli wakarudi kambini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.

Tazama sura Nakili




Hesabu 11:30
3 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akamwambia, Je! Umekuwa na wivu kwa ajili yangu; ingekuwa heri kama watu wote wa BWANA wangekuwa manabii na kama BWANA angewatia roho yake.


Kisha upepo ukavuma kutoka kwa BWANA, nao ukaleta kware kutoka pande za baharini, nao ukawaacha wakaanguka karibu na kambi, kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande huu, na kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande ule, kuizunguka, nao wakafikia kiasi cha dhiraa mbili juu ya uso wa nchi.


Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo