Naye akamwambia, Kwa nini, Ee mwana wa mfalme, unakonda hivi siku kwa siku? Hutaki kuniambia? Amnoni akamwambia, Nampenda Tamari, dada ya kaka yangu, Absalomu.
Hesabu 11:6 - Swahili Revised Union Version lakini sasa roho zetu zimekauka; hakuna kitu chochote; hatuna kitu cha kutumaini isipokuwa hii mana tu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Lakini sasa nguvu zimetuishia na hakuna chakula kingine isipokuwa hii mana tu!” Biblia Habari Njema - BHND Lakini sasa nguvu zimetuishia na hakuna chakula kingine isipokuwa hii mana tu!” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Lakini sasa nguvu zimetuishia na hakuna chakula kingine isipokuwa hii mana tu!” Neno: Bibilia Takatifu Lakini sasa tumepoteza hamu ya chakula; hatuoni kitu kingine chochote isipokuwa hii mana!” Neno: Maandiko Matakatifu Lakini sasa tumepoteza hamu ya chakula; hatuoni kitu kingine chochote isipokuwa hii mana!” BIBLIA KISWAHILI lakini sasa roho zetu zimekauka; hakuna kitu chochote; hatuna kitu cha kutumaini isipokuwa hii mana tu. |
Naye akamwambia, Kwa nini, Ee mwana wa mfalme, unakonda hivi siku kwa siku? Hutaki kuniambia? Amnoni akamwambia, Nampenda Tamari, dada ya kaka yangu, Absalomu.
Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa.
Watu wakamnung'unikia Mungu, na Musa, Mbona mmetupandisha huku kutoka nchi ya Misri, ili tufe jangwani? Maana hapana chakula, wala hapana maji, na roho zetu zinakinai chakula hiki dhaifu.