Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 11:34 - Swahili Revised Union Version

Jina la mahali pale likaitwa Kibroth-hataava; maana, ni hapo walipowazika hao watu waliotamani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo mahali hapo palipewa jina Kibroth-hataava; kwa sababu huko ndiko walikowazika watu waliokuwa walafi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo mahali hapo palipewa jina Kibroth-hataava; kwa sababu huko ndiko walikowazika watu waliokuwa walafi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo mahali hapo palipewa jina Kibroth-hataava; kwa sababu huko ndiko walikowazika watu waliokuwa walafi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava, kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava, kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jina la mahali pale likaitwa Kibroth-hataava; maana, ni hapo walipowazika hao watu waliotamani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 11:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hasira ya Mungu ikapanda juu yao, Akawaua waliokuwa wanono; Akawaangusha chini vijana wa Israeli.


Kutoka hapo Kibroth-hataava watu wakasafiri kwenda Haserothi; wakakaa huko Haserothi.


Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapiga kambi Kibroth-hataava.


Wakasafiri kutoka Kibroth-hataava, wakapiga kambi Haserothi.


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Tena huko Tabera, na Masa, na Kibroth-hataava mlimtia BWANA hasira.