Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 11:30 - Swahili Revised Union Version

Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Mose alirudi kambini pamoja na wale wazee sabini wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Mose alirudi kambini pamoja na wale wazee sabini wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Mose alirudi kambini pamoja na wale wazee sabini wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Musa na wale wazee wa Israeli wakarudi kambini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Musa na wale wazee wa Israeli wakarudi kambini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 11:30
3 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akamwambia, Je! Umekuwa na wivu kwa ajili yangu; ingekuwa heri kama watu wote wa BWANA wangekuwa manabii na kama BWANA angewatia roho yake.


Kisha upepo ukavuma kutoka kwa BWANA, nao ukaleta kware kutoka pande za baharini, nao ukawaacha wakaanguka karibu na kambi, kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande huu, na kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande ule, kuizunguka, nao wakafikia kiasi cha dhiraa mbili juu ya uso wa nchi.


Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.