Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 10:31 - Swahili Revised Union Version

Naye akamwambia, Usituache, tafadhali; kwa kuwa wewe wajua jinsi tutakavyopiga kambi, nawe utakuwa kiongozi wetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akamwambia, “Tafadhali usituache, maana wewe unajua mahali tunapoweza kupiga kambi jangwani, na unaweza kuwa kiongozi wetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akamwambia, “Tafadhali usituache, maana wewe unajua mahali tunapoweza kupiga kambi jangwani, na unaweza kuwa kiongozi wetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akamwambia, “Tafadhali usituache, maana wewe unajua mahali tunapoweza kupiga kambi jangwani, na unaweza kuwa kiongozi wetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Musa akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Musa akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akamwambia, Usituache, tafadhali; kwa kuwa wewe wajua jinsi tutakavyopiga kambi, nawe utakuwa kiongozi wetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 10:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa macho kwa kipofu, Nilikuwa miguu kwa aliyechechemea.


Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.


Isitoshe, ukienda pamoja nasi, naam, mema yote ambayo BWANA atatutendea, nawe tutakutendea vivyo hivyo.


Mchukuliane mizigo na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.