Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:7 - Swahili Revised Union Version

Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Haruni akamwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada yake Nashoni; naye akamzalia Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.


Mahali pa mbele ilisafiri beramu ya kambi ya wana wa Yuda, kwa majeshi yao; na Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyekuwa juu ya jeshi lake.


Na hao watakaopanga upande wa mashariki, kwa kuelekea maawio ya jua, ndio wale wa bendera ya kambi ya Yuda, kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Yuda atakuwa Nashoni mwana wa Aminadabu.


Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda;


wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,


Hivi ndivyo vizazi vya Peresi; Peresi alimzaa Hesroni;


na Aminadabu akamzaa Nashoni; na Nashoni akamzaa Salmoni;