Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Filemoni 1:18 - Swahili Revised Union Version

Na kama amekudhulumu, au unamdai kitu, ukiandike hicho juu yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kama amekudhulumu, au unamdai kitu, ukiandike hicho juu yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Filemoni 1:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nitakuwa mdhamini wake, umtake mkononi mwangu. Nisipomleta tena kwako, na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye hatia mbele yako daima;


Basi ikiwa waniona mimi kuwa mshirika nawe, mpokee huyu kama ambavyo ungenipokea mimi mwenyewe.


Mimi Paulo nimeandika kwa mkono wangu mwenyewe, mimi nitalipa. Sikuambii kwamba nakudai hata nafsi yako.