Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Filemoni 1:12 - Swahili Revised Union Version

niliyemtuma kwako, yeye mwenyewe, maana ni moyo wangu hasa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

niliyemtuma kwako, yeye mwenyewe, maana ni moyo wangu hasa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Filemoni 1:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akamwambia Abishai, na watumishi wake wote, Angalieni, huyu mwanangu, aliyetoka viunoni mwangu, anautafuta uhai wangu; sembuse Mbenyamini huyu? Mwacheni alaani, kwa sababu BWANA ndiye aliyemwagiza.


Je! Efraimu siye mwanangu mpendwa? Je! Siye mtoto apendezaye? Maana kila nisemapo neno juu yake, ningali nikimkumbuka sana; kwa sababu hiyo moyo wangu unataabika kwa ajili yake; bila shaka nitamrehemu, asema BWANA.


Nanyi, kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu. [


Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


Atakapokushawishi kwa siri ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako, au binti yako, au mke wa kifuani mwako, au rafiki yako aliye kama moyo wako, akikuambia, Twende tukaabudu miungu mingine usiyoijua wewe wala baba zako;


ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia;


ambaye mimi nilitaka akae kwangu, apate kunitumikia badala yako, niwapo katika kifungo kwa ajili ya Injili.