Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 7:3 - Swahili Revised Union Version

Ndipo wanyama wakubwa wanne wakatoka baharini, wote wa namna mbalimbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanyama wakubwa wanne, wakainuka kutoka humo baharini, kila mmoja tofauti na mwenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanyama wakubwa wanne, wakainuka kutoka humo baharini, kila mmoja tofauti na mwenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanyama wakubwa wanne, wakainuka kutoka humo baharini, kila mmoja tofauti na mwenzake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanyama wanne wakubwa, kila mmoja tofauti na mwenzake, wakajitokeza kutoka bahari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanyama wanne wakubwa, kila mmoja tofauti na mwenzake, wakajitokeza kutoka bahari.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Ndipo, nyama wakubwa wanne walipotoka baharini, kila mmoja wao alikuwa wa namna yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 7:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.


Wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani.


Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, alikuwa na pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya kukufuru.


Yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yuko tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako.