Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 5:31 - Swahili Revised Union Version

Na Dario, Mmedi, akaupokea ufalme, naye umri wake alikuwa na miaka sitini na miwili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

naye mfalme Dario, Mmedi, akashika utawala akiwa na umri wa miaka sitini na miwili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

naye mfalme Dario, Mmedi, akashika utawala akiwa na umri wa miaka sitini na miwili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

naye mfalme Dario, Mmedi, akashika utawala akiwa na umri wa miaka sitini na miwili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Dario Mmedi akanyakua ufalme akiwa na miaka sitini na mbili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Ufalme wake akauchukua Mmedi Dario, naye alikuwa mwenye miaka kama 62.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 5:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitaleta juu ya nchi ile maneno yangu yote niliyoyanena juu yake, naam, yote yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki, aliyotabiri Yeremia juu ya mataifa haya yote.


Nimekutegea mtego, Ee Babeli, nawe ukanaswa, nawe ulikuwa huna habari; umeonekana, ukakamatwa, kwa sababu ulishindana na BWANA.


Kwa upande wangu, katika mwaka wa kwanza wa Dario, Mmedi, mimi nilisimama ili kumsaidia na kumtia nguvu.


PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi.


Ilimpendeza Dario kuweka juu ya ufalme wakuu mia moja na ishirini, wawe juu ya ufalme wote;


Katika mwaka wa kwanza wa Dario, mwana wa Ahasuero, wa uzao wa Wamedi, aliyetawazwa kuwa mfalme juu ya milki ya Wakaldayo;