Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 5:24 - Swahili Revised Union Version

Ndipo kile kiganja cha ule mkono kikaletwa kutoka mbele zake, na maandiko haya yameandikwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mungu ametuma mkono uandike maandishi haya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mungu ametuma mkono uandike maandishi haya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mungu ametuma mkono uandike maandishi haya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Kwa hiyo ukatumwa naye huo mgongo wa mkono na haya maandiko yaliyoandikwa hapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 5:24
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.


Saa iyo hiyo vikatokea vidole vya mkono wa mwanadamu, vikaandika katika chokaa ya ukuta wa nyumba ya enzi ya mfalme, mahali palipokielekea kinara; naye mfalme akakiona kiganja cha ule mkono ulioandika.