Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 2:33 - Swahili Revised Union Version

miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na nusu ya udongo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miguu yake ilikuwa ya chuma na nyayo zake zilikuwa za mchanganyiko wa chuma na udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miguu yake ilikuwa ya chuma na nyayo zake zilikuwa za mchanganyiko wa chuma na udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miguu yake ilikuwa ya chuma na nyayo zake zilikuwa za mchanganyiko wa chuma na udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

miguu yake ilikuwa ya chuma; na nyayo zake zilikuwa chuma na sehemu nyingine udongo uliochomwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

miguu yake ilikuwa ya chuma, na nyayo zake zilikuwa chuma nazo sehemu nyingine zilikuwa udongo wa mfinyanzi uliochomwa.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

mapaja yake yalikuwa ya chuma, miguu yake ilikuwa nusu ya chuma, nusu ya udongo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 2:33
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba;


Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.