Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 10:15 - Swahili Revised Union Version

Na alipokwisha kusema nami maneno hayo, nikauelekeza uso wangu chini, nikawa bubu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Alipokuwa ananiambia maneno hayo, niliangalia chini bila kuweza kuongea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Alipokuwa ananiambia maneno hayo, niliangalia chini bila kuweza kuongea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Alipokuwa ananiambia maneno hayo, niliangalia chini bila kuweza kuongea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa akiniambia haya, nilisujudu, uso wangu ukigusa chini, nikawa bubu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa akinielezea haya, nilisujudu uso wangu ukiwa umeelekea chini, nikawa bubu.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Aliponiambia maneno haya, nikauelekeza uso wangu chini, maana sikuweza kusema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 10:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku hiyo kinywa chako kitafumbuliwa kwake aliyeokoka, nawe utasema; hutakuwa bubu tena; ndivyo utakavyokuwa ishara kwao; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


nami nitaufanya ulimi wako ugandamane na kaakaa lako, hata utakuwa bubu, wala hutakuwa mwonyaji kwao; kwa kuwa wao ni nyumba yenye kuasi.


Basi mkono wa Bwana umekuwa juu yangu wakati wa jioni, kabla hajafika yeye aliyetoroka; naye alikuwa amenifumbua kinywa changu, hata aliponijia wakati wa asubuhi; na kinywa changu kilikuwa wazi, wala sikuwa bubu tena.


Lakini niliisikia sauti ya maneno yake; nami niliposikia sauti ya maneno yake, ndipo nikashikwa na usingizi mzito, na uso wangu umeielekea nchi.


Basi alipokuwa akisema nami, nilishikwa na usingizi mzito na uso wangu uliielekea nchi; lakini alinigusa, akanisimamisha wima.


Na tazama! Utakuwa bubu, usiweze kusema, mpaka siku ile yatakapotukia hayo, kwa sababu hukuyasadiki maneno yangu; nayo yatatimizwa kwa wakati wake.