Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 1:21 - Swahili Revised Union Version

Tena, Danieli huyo akadumu huko hata mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Danieli alidumu katika huduma ya ikulu mpaka mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Danieli alidumu katika huduma ya ikulu mpaka mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Danieli alidumu katika huduma ya ikulu mpaka mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Danieli akabaki huko hadi mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Danieli akabaki huko mpaka mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Danieli akawapo hata mwaka wa kwanza wa mfalme Kiro.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 1:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, ili kwamba neno la BWANA alilolisema kwa kinywa cha Yeremia lipate kutimizwa, BWANA akaamsha roho yake Koreshi, mfalme wa Uajemi, hata akapiga mbiu katika ufalme wake wote, akaiandika pia, akisema,


Koreshi, mfalme wa Uajemi asema hivi; BWANA, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote za dunia; naye ameniagiza nimjengee nyumba katika Yerusalemu, ulioko Yuda.


Katika mwaka wa tatu wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Danieli, ambaye jina lake aliitwa Belteshaza, alifunuliwa neno; na neno lile lilikuwa kweli; maana ni vita vikubwa; naye akalifahamu neno lile, akaelewa na maono hayo.


Basi Danieli huyo akafanikiwa katika enzi ya Dario, na katika enzi ya Koreshi, Mwajemi.