Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 1:16 - Swahili Revised Union Version

Basi yule msimamizi akaiondoa posho yao ya chakula, na ile divai waliyopewa wanywe, akawapa mtama tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, yule mlinzi akawaacha waendelee kula mboga za majani badala ya chakula cha fahari na divai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, yule mlinzi akawaacha waendelee kula mboga za majani badala ya chakula cha fahari na divai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, yule mlinzi akawaacha waendelee kula mboga za majani badala ya chakula cha fahari na divai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo mlinzi wao akaondoa chakula chao na divai yao waliopangiwa kula na kunywa, akawapa nafaka na mboga za majani badala yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo mlinzi wao akaondoa chakula chao na divai yao waliopangiwa kula na kunywa, akawapa nafaka na mboga za majani badala yake.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Ndipo, mtunza mvinyo alipoviacha vile vilaji vya urembo na mvinyo, walizopewa za kunywa, akawapa maboga tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 1:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Danieli akamwambia yule msimamizi, ambaye mkuu wa matowashi amemweka juu ya Danieli, na Hanania, na Mishaeli, na Azaria,


Tafadhali utujaribu sisi watumishi wako muda wa siku kumi; na watupe mboga za majani tule, na maji tunywe.