Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




3 Yohana 1:13 - Swahili Revised Union Version

Nilikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa wino na kalamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninayo bado mengi ya kukuambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninayo bado mengi ya kukuambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninayo bado mengi ya kukuambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nilikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa wino na kalamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



3 Yohana 1:13
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini natarajia kuja kwenu, na kusema nanyi uso kwa uso, ili furaha yetu iwe imetimizwa.