Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 3:4 - Swahili Revised Union Version

Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kupitia kwa Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 3:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Sikiza sasa neno langu, nitakupa shauri, na Mungu na awe pamoja nawe; uwe wewe kwa ajili ya watu mbele ya Mungu, nawe umletee Mungu maneno yao;


Ila Mungu ashukuriwe, anayetufanya tushangilie ushindi daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.


Katika yeye tunao ujasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya kumwamini.


Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu;


Maana kutoka kwenu neno la Mungu limevuma, si katika Makedonia na Akaya tu, ila na kila mahali imani yenu mliyo nayo kwa Mungu imeenea; hata hatuna haja sisi kunena lolote.