Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kupitia kwa Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 3:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Sikiza sasa neno langu, nitakupa shauri, na Mungu na awe pamoja nawe; uwe wewe kwa ajili ya watu mbele ya Mungu, nawe umletee Mungu maneno yao;


Ila Mungu ashukuriwe, anayetufanya tushangilie ushindi daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.


Katika yeye tunao ujasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya kumwamini.


Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu;


Maana kutoka kwenu neno la Mungu limevuma, si katika Makedonia na Akaya tu, ila na kila mahali imani yenu mliyo nayo kwa Mungu imeenea; hata hatuna haja sisi kunena lolote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo