2 Wakorintho 3:4 - Swahili Revised Union Version4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kupitia kwa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Al-Masihi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo. Tazama sura |