Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 12:3 - Swahili Revised Union Version

Nami namjua mtu huyo, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua);

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Narudia: Najua kwamba mtu huyo alinyakuliwa mpaka peponi. (Lakini sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Narudia: Najua kwamba mtu huyo alinyakuliwa mpaka peponi. (Lakini sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Narudia: najua kwamba mtu huyo alinyakuliwa mpaka peponi. (Lakini sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nami najua kwamba mtu huyu, iwe ni katika mwili au nje ya mwili mimi sijui, lakini Mungu ajua,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nami najua ya kwamba mtu huyu, kwamba ni katika mwili au nje ya mwili mimi sijui, lakini Mungu ajua,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami namjua mtu huyo, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua);

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 12:3
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.


Kwa nini? Je! Ni kwa sababu siwapendi ninyi? Mungu anajua.


Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.