Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:11 - Swahili Revised Union Version

Ikawa siku moja akafika huko, akaingia katika chumba kile akalala.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja Elisha akaja huko na kuingia chumbani mwake ili apumzike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja Elisha akaja huko na kuingia chumbani mwake ili apumzike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja Elisha akaja huko na kuingia chumbani mwake ili apumzike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku moja Al-Yasa alipofika, akapanda chumbani kwake na kulala humo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku moja Al-Yasa alipofika, akapanda chumbani kwake na kulala humo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa siku moja akafika huko, akaingia katika chumba kile akalala.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nakuomba, tumfanyie chumba kidogo ukutani; na ndani yake tumwekee kitanda, na meza, na kiti, na kinara cha taa; na itakuwa, atujiapo, ataingia humo.


Akamwambia Gehazi mtumishi wake, Mwite yule Mshunami. Naye alipokwisha kuitwa, akasimama mbele yake.


Hata ikawa siku moja, Elisha alikwenda Shunemu; na huko kulikuwa na mwanamke mmoja mwenye cheo; naye akamshurutisha aje ale chakula. Ikawa kila alipopita njia ile, huingia kula chakula.